Social Icons

PATA HABARI NA BURUDANI MBALI MBALI POPOTE ULIPO!

Saturday, August 31, 2013

Cheka bingwa wa WBU 

Bondia cheka kushoto akimtwanga mpinzani wake Phil William

Bondia wa Tanzania Francis Cheka ameendeleza ubabe jumamosi kwa kumchapa bondia wa Marekani, Phil William kwa pointi katika mchezo wa kuwania ubingwa wa dunia wa WBU.

Cheka aliibuka kidedea na kutwaa ubingwa huo baada ya kumshinda mmarekani huyo katika mchezo wa raundi 12 uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee.

0 comments:

 

Sample text

Sample Text

PATA HABARI NA BURUDANI MBALI MBALI POPOTE ULIPO!

Sample Text