Social Icons

PATA HABARI NA BURUDANI MBALI MBALI POPOTE ULIPO!

Saturday, August 31, 2013



Drake kupiga kazi na baba yake 


MSANII Drake anatarajiwa kumshirikisha baba yake mzazi katikia kazi yake inayokwenda kwa jina la 'Heat of the moment.' ngoma hiyo inatarajiwa kuwa katika albamu yake ya 'Nothing Wa The Same' anayotarajia kuiachia Septemba 24.
“Naishi katika ndoto za baba yangu kwani alinihitaji niwe mwimbaji maarufu, hiyo ni sababu iliyonifanya nimpende na  anajua kuwa nampenda na kuwa ni rafiki yangu mkubwa." amesema Drake.
Bado haijawekwa wazi kama baba mzazi wa Drake, Dennis Graham ataimba kwenye ngoma hiyo au sauti yake tu ndio itakayoskika kama sample, kama kwenye ngoma ya zamani ya Drake “Jodeci Freestyle”aliyomshirikisha J. Cole.

0 comments:

 

Sample text

Sample Text

PATA HABARI NA BURUDANI MBALI MBALI POPOTE ULIPO!

Sample Text