AY
ateuliwa kuwania tuzo za Channel O
MSANII Ambene Yessayah (AY) amekuwa msanii
pekee nchini kuteuliwa kuwania tuzo ya Channel O (CHOAMVA) kwa mwaka huu.
Jina la AY limetajwa katika vipengele
viwili ambavyo ni Most Gifted Male kwa kupitia video yake ya 'Paty Zone'
aliyomshirikisha Marco Chali.
ukiachilia kipengele hicho kingine ni Most
Gifted Africa East kwa kupitia video yake hiyo hiyo ya 'Part Zone'.
Mwisho.
0 comments:
Post a Comment